Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Chadema wateua wa kupambana na Waitara, Kalanga
Habari za Siasa

Chadema wateua wa kupambana na Waitara, Kalanga

Spread the love

CHAMA cha Chadema kimeteua wagombea ubunge katika majimbo matatu yaliyoachwa wazi baada ya wabunge wawili kujiuzulu na mmoja kufariki. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Uteuzi huo umefanywa leo tarehe 17 Agosti, 2018 na Kamati Kuu ya Chadema na kutangazwa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Chadema, Tumaini Makene.

Kamati hiyo iliyoketi kwa muda wa siku mbili, imemteua Asia Msangi kuwa mgombea kwenye Jimbo la Ukonga, Yonas Laiser amechaguliwa kukiwakilisha chama hicho katika jimbo la Monduli na Amina Saguti ameteuliwa kugombea Korogwe Vijijini.

Katika majimbo hayo, mawili yalikuwa yanashikiliwa na makada wa Chadema akiwemo Mwita Waitara (Ukonga) na Julius Kalanga (Monduli) ambao hivi karibuni walijivua uanachama wa chama hicho na kujiuzulu ubunge.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!