Monday , 6 May 2024
Habari za Siasa

Mambo yameiva Buyungu

Spread the love

WAKAZI wa Jimbo la Buyungu lililoko Wilayani Kankonko mkoa wa Kigoma, wamejitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Wakazi hao wamejitokeza leo tarehe 12 Agosti, 2018 kumchagua mbunge wa jimbo hilo lililoachwa wazi kufuatia kifo cha Mwalimu Kasuku Bilago aliyekuwa mbunge wa Buyungu.

Wananchi hao walijitokeza kuanzia majira ya asubuhi ambapo kuanzia mida ya saa moja kamili asubuhi zoezi la upigaji kura lilianza.

Katika uchaguzi huo, mgombea wa CCM, Christopher Chiza anachuana vikali na mgombea wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda UKAWA, Eliah Michael.PICHA -8

Uchaguzi wa Buyungu unakwenda sambamba na uchaguzi mdogo wa kata thelathini na sita (36) unaondelea maeneo mbalimba katika kata hizo zilizoko Tanzania Bara.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

Habari za SiasaTangulizi

Mkulo afariki dunia, kuzikwa kesho Kilosa

Spread the loveALIYEKUWA Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kilosa (CCM), Mustafa...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

error: Content is protected !!