Wednesday , 24 April 2024
Habari za Siasa

Mambo yameiva Buyungu

Spread the love

WAKAZI wa Jimbo la Buyungu lililoko Wilayani Kankonko mkoa wa Kigoma, wamejitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Wakazi hao wamejitokeza leo tarehe 12 Agosti, 2018 kumchagua mbunge wa jimbo hilo lililoachwa wazi kufuatia kifo cha Mwalimu Kasuku Bilago aliyekuwa mbunge wa Buyungu.

Wananchi hao walijitokeza kuanzia majira ya asubuhi ambapo kuanzia mida ya saa moja kamili asubuhi zoezi la upigaji kura lilianza.

Katika uchaguzi huo, mgombea wa CCM, Christopher Chiza anachuana vikali na mgombea wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda UKAWA, Eliah Michael.PICHA -8

Uchaguzi wa Buyungu unakwenda sambamba na uchaguzi mdogo wa kata thelathini na sita (36) unaondelea maeneo mbalimba katika kata hizo zilizoko Tanzania Bara.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!