Sunday , 2 April 2023
Habari za Siasa

Mambo yameiva Buyungu

Spread the love

WAKAZI wa Jimbo la Buyungu lililoko Wilayani Kankonko mkoa wa Kigoma, wamejitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Wakazi hao wamejitokeza leo tarehe 12 Agosti, 2018 kumchagua mbunge wa jimbo hilo lililoachwa wazi kufuatia kifo cha Mwalimu Kasuku Bilago aliyekuwa mbunge wa Buyungu.

Wananchi hao walijitokeza kuanzia majira ya asubuhi ambapo kuanzia mida ya saa moja kamili asubuhi zoezi la upigaji kura lilianza.

Katika uchaguzi huo, mgombea wa CCM, Christopher Chiza anachuana vikali na mgombea wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda UKAWA, Eliah Michael.PICHA -8

Uchaguzi wa Buyungu unakwenda sambamba na uchaguzi mdogo wa kata thelathini na sita (36) unaondelea maeneo mbalimba katika kata hizo zilizoko Tanzania Bara.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia apangua mawaziri

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la...

Habari za Siasa

RC mstaafu afariki dunia, CCM yamlilia

Spread the loveALIYEWAHI kuwa mkuu wa mikoa ya Dodoma, Mara, Mtwara na...

Habari za Siasa

Marekani kuwekeza Dola 500 Mil kupeleka bidhaa na huduma Tanzania

Spread the loveMAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris amesema miongoni mwa...

Habari za Siasa

Kamala ataja hatua mpya kuimarisha uhusiano wa kibiashara Tanzania, Marekani

Spread the loveKATIKA kuimaridha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi baina ya Tanzania...

error: Content is protected !!