Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Timu za CECAFA U-17 zawasili, kupimwa umri Muhimbili
Michezo

Timu za CECAFA U-17 zawasili, kupimwa umri Muhimbili

Clifford Ndimbo, Msemaji wa TFF
Spread the love

IKIWA zimebaki siku tatu kabla ya michuano ya vijana ya kufuzu fainali za Afrika chini ya umri wa miaka 17, katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuanza, timu zimeanza kuwasili nchini na kufanya vipimo vya afya na umri katika Taasisi ya Tiba na Mifupa Muhimbili (MOI). Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Katika taarifa iliyotolewa na shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF katika tovuti yao imesema utaratibu wa vipimo hivyo utaendelea leo katika taasisi hiyo kwa baadhi ya timu, huku timu ya Taifa ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ imeshaanza kufanya vipimo hivyo jana na leo inaendelea na vipimo vingine.

Mashindano hayo yanatarajia kuanza Jumamosi tarehe 11 hadi 26 Agosti, 2018 kwenye Uwanja wa Taifa na Azam Complex, Chamazi Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!