Sunday , 2 April 2023
Home Kitengo Michezo Timu za CECAFA U-17 zawasili, kupimwa umri Muhimbili
Michezo

Timu za CECAFA U-17 zawasili, kupimwa umri Muhimbili

Clifford Ndimbo, Msemaji wa TFF
Spread the love

IKIWA zimebaki siku tatu kabla ya michuano ya vijana ya kufuzu fainali za Afrika chini ya umri wa miaka 17, katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuanza, timu zimeanza kuwasili nchini na kufanya vipimo vya afya na umri katika Taasisi ya Tiba na Mifupa Muhimbili (MOI). Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Katika taarifa iliyotolewa na shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF katika tovuti yao imesema utaratibu wa vipimo hivyo utaendelea leo katika taasisi hiyo kwa baadhi ya timu, huku timu ya Taifa ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ imeshaanza kufanya vipimo hivyo jana na leo inaendelea na vipimo vingine.

Mashindano hayo yanatarajia kuanza Jumamosi tarehe 11 hadi 26 Agosti, 2018 kwenye Uwanja wa Taifa na Azam Complex, Chamazi Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

Spread the love  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

error: Content is protected !!