Sunday , 5 May 2024
Home Kitengo Michezo Yanga yazinduka jioni
Michezo

Yanga yazinduka jioni

Spread the love

IKIWA yamebakia masaa machache kabla ya dirisha la usajiri la Ligi Kuu Tanzania Bara pamoja na ligi daraja la kwanza hatimaye klaba ya Yanga imefanikiwa kunasa saini ya kipa Klaus Nkinzi na mshambulia Heritier Makambo ambao wote ni raia wa Congo DRC. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Yanga ambayo ilionekana kusuasua hapo awali katika mchakato wa usajili toka dirisha hilo kufunguliwa kutokana na hali ya kiuchumi wanayopitia kwa sasa toka alipojiuzuru mwenyekiti wao na mfadhili mkuu wa klabu hiyo

Wawili hao wanaongeza idadi ya kuwa wachezaji saba mpaka sasa waliosajiriwa na klabu ya Yanga kuelekea msimu mpya wa mashindano wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuanza 23 Agosti, 2018.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!