Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Admin wa WhatsApp afungwa miezi mitano jela
KimataifaTangulizi

Admin wa WhatsApp afungwa miezi mitano jela

Spread the love

MWANAFUNZI mmoja anayefahamika kwa jina la Junaid Khan (21) ametumikia kifungo cha miezi mitano gerezani nchini India kwa kuwa msimamizi wa kundi la WhatsApp ambalo ulitumwa ujumbe wa matusi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Junaid Khan alishtakiwa kwa kosa la uasi kufuatia kundi hilo kutumwa ujumbe wa matusi huku yeye akiwa miongoni mwa viongozi wa kundi ‘Admin’, hata hivyo alikana kuutuma ujumbe huo.

Adhabu hiyo imemkumba Khan kufuatia sheria ya mitandao nchini India kuruhusu vyombo vya dola kuwachukulia hatua wasimamizi wa makundi ya mitandao ya kijamii au admins ikiwemo kuwafunga gerezani, kwa kosa la kwa kusambaza ujumbe unaoonekana kuwa ni tusi kidini au kisiasa.

Hata hivyo, Polisi inamshikilia admin aliyetoroka kundini kwa madai ya kuhusika kutuma ujumbe huo.

Chanzo: BBC Swahili

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

Spread the loveRais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia...

Habari za SiasaTangulizi

Wizara Katiba na Sheria yaliomba Bunge Sh. 441.2 bilioni

Spread the love  WIZARA ya Katiba na Sheria imeliomba Bunge liidhinishe bajeti...

error: Content is protected !!