Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbowe na wenzake mahakamani tena kesho
Habari za Siasa

Mbowe na wenzake mahakamani tena kesho

Viongozi wa Chadema wakiwa mahakamani Kisutu
Spread the love

VIONGOZI tisa wa Chama cha Demokrasia na Maanedeleo (Chadema), wanatarajiwa kutinga mahakamani tena kesho kusikiliza kesi inayowakabili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Wanaotarajiwa kufika mahakamani kesho, ni pamoja na Freeman Mbowe, mwenyekiti wa taifa wa chama hicho; Dk. Vicenti Mashinji, katibu mkuu; John Mnyika, naibu katibu mkuu na Halima Mdee, Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake taifa (BAWACHA).

Wengine, ni Salum Mwalimu, naibu katibu mkuu Zanzibar; Esther Matiko, mbunge wa Tarime Mjini; Mchungaji Peter Msigwa, mbunge wa Iringa Mjini; Ester Bulaya na John Heche, mbunge wa Tarime Vijijini.

Viongozi hao wandamizi wa chama hicho ambacho ni kikuu cha upinzani nchini, wanatuhumiwa kwa makosa mbalimbali, ikiwamo kufanya maandamano yasiyokuwa na kibali na uchochezi.

Mbele ya Hakim Mkuu Mkazi Mashauri, watuhumiwa wote wanadaiwa kutenda tendo hilo, tarehe 26 Februari mwaka huu.

Wamekana madai hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

Spread the loveSERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha...

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

Habari za Siasa

Serikali yawapa maagizo Ma-RC udhibiti magonjwa yasiyoambukiza

Spread the loveWAKUU wa mikoa nchini wametakiwa kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wananchi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

error: Content is protected !!