Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Serikali yapiga stop kuagiza mita za luku
Habari za Siasa

Serikali yapiga stop kuagiza mita za luku

Dk. Medard Kalemani, Waziri wa Nishati
Spread the love

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema kuanzia Julai mwaka huu, serikali itasitisha uagizaji wa mita za luku ya umeme kutoka nje ya nchi ili kutoa fursa kwa wawekezaji wa ndani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Dk. Kalemani amesema nia ya serikali ni kutoa nafasi kwa wawekezaji nchini kuanza kuzalisha vifaa hivyo ili kuendana na kasi ya Tanzania wa viwanda.

Waziri huyo amesema kuwa usitishwaji wa kuagiza mita za luku unaenda sambamba na ule wa nguzo za umeme kutoka Afrika Kusini na transfoma kutoka nchini India.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!