Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Serikali yataka Ma  RC ,  Ma  Dc wasijione  ‘miungu watu’
Habari Mchanganyiko

Serikali yataka Ma  RC ,  Ma  Dc wasijione  ‘miungu watu’

Selemani Jafo, Waziri wa Nchi ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
Spread the love

WAKUU wa Mikoa pamoja na Wakuu wa Wilaya nchini wametakiwa kutumia vizuri sheria ya kwaweka ndani watu ndani ya saa 48 na wasitumie sheria hiyo kwa kuwaonea watu, anaandika Dany Tibason.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri Nchi,Ofisi ya Rais (TAMISEMI)Selemani Jaffo alipokuwa akifunga mafunzo ya Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wao kwa lengo la kuwajengea uwezo.

Katika mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Taasisi ya Uongozi, Jaffo amesema kwa sasa kuna baadhi yao  wanatumia vibaya sheria inayowapa  mamlaka ya kumuweka ndani mtu kwa  saa 48.

“Serikali imekua ikichukiwa kutokana na viongozi hawa  kutumia vibaya sheria inayompa mamkala kiongozi huyo kumuweka ndani  mtu mahabusu saa 48.

“Wapo wakuu ambao wanatumia sheria hiyo kwa kukomoana na kujifanya kuwa wao ni miungu watu bila kutambua kuwa wanapofanya hivyo wanasababisha serikali kuchukiwa bila kuwa na sababu za msingi” alisema Jafo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari Mchanganyiko

Chongolo aonya viongozi vijiji kutouza NIDA kwa wageni

Spread the loveMKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewaonya viongozi wa...

error: Content is protected !!