Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Wanasiasa wampasua kichwa RPC Mkondya
Habari Mchanganyiko

Wanasiasa wampasua kichwa RPC Mkondya

Lucas Mkondya, Kaimu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam
Spread the love

ALIYEKUWA Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, Lucas Mkondya, amesema anaondoka katika mkoa huo, huku akisema moja ya changamoto katika nafasi yake ni wanasiasa, anaandika Irene David.

Hata hivyo, hakufafanua alichomaanisha anaposema wanasiasa, lakini hivi karibuni kumekuwapo maneno yanayosemwa na wanasiasa.

Mkondya aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es salaam alipokuwa anawaaga baada ya kuhamishwa katika nafasi hiyo, na kurithiwa na Lazaro Mambosasa.

Changamoto nyingine alizoziacha Dar es salaam ni pamoja na makosa ya barabara na makosa mengine, lakini amejivunia kufanikiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa uhalifu jijini Dar es Salaam.

Mkondya ameteuliwa kuwa Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Mtwara na leo ameagana na waandishi wa habari.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari Mchanganyiko

Chongolo aonya viongozi vijiji kutouza NIDA kwa wageni

Spread the loveMKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewaonya viongozi wa...

error: Content is protected !!