Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wanasiasa wampasua kichwa RPC Mkondya
Habari Mchanganyiko

Wanasiasa wampasua kichwa RPC Mkondya

Lucas Mkondya, Kaimu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam
Spread the love

ALIYEKUWA Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, Lucas Mkondya, amesema anaondoka katika mkoa huo, huku akisema moja ya changamoto katika nafasi yake ni wanasiasa, anaandika Irene David.

Hata hivyo, hakufafanua alichomaanisha anaposema wanasiasa, lakini hivi karibuni kumekuwapo maneno yanayosemwa na wanasiasa.

Mkondya aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es salaam alipokuwa anawaaga baada ya kuhamishwa katika nafasi hiyo, na kurithiwa na Lazaro Mambosasa.

Changamoto nyingine alizoziacha Dar es salaam ni pamoja na makosa ya barabara na makosa mengine, lakini amejivunia kufanikiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa uhalifu jijini Dar es Salaam.

Mkondya ameteuliwa kuwa Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Mtwara na leo ameagana na waandishi wa habari.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

error: Content is protected !!