Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Tume ya Uchaguzi Kenya yalegeza masharti
Makala & Uchambuzi

Tume ya Uchaguzi Kenya yalegeza masharti

Wafula Chebukata, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC)
Spread the love

TUME ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), imeazimia kuongeza muda wa kupiga kura siku ya uchaguzi katika maeneo yenye sheria ya muda wa kutembea, anaandika Catherine Kayombo.

Akizungumza katika mkutano uliofanyika makao makuu ya tume jijini Nairobi, mwenyekiti wa tume, Wafula Chebukata amedokeza kuwa wasimamizi wa uchaguzi katika vituo husika wamekabidhiwa madaraka ya kuongeza muda wa kupiga kura katika vituo ambavyo kazi hiyo inaingiliwa na sababu nyingine halali.

“Kuchelewa kufunguliwa kwa vituo vya kupigia kura katika maeneo yanayoathiriwa na sheria ya kutembea kwa muda husika, kutafidiwa na utekelezaji wakanuni ya 64(1) na 63(1).

Maeneo yenye vizuizi vya muda ni pamoja na Garisa, Lamu na maeneo kando yam to wa Tana lile ambayo yanahusiwa kuwa si salama kuwepo kwa muda mrefu hasa katika kipindi cha uchaguzi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaMakala & Uchambuzi

Kanda ya Ziwa yaonyesha NMB inavyosaidia afya ya mama na mtoto

Spread the loveMafanikio inayozidi kupata Tanzania katika kupunguza vifo vya mama na...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

‘Mwanapekee’ wa Rais Samia: Atabadili nini Arusha?

Spread the loveMAPEMA wiki hii, baadhi ya viongozi walioapishwa na Rais Samia...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kipunguni waihoji serikali, ziko wapi fedha za fidia?

Spread the loveWATU wanaodai kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni sikivu,...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Askofu Bagonza: Tusichonganishwe; tusichokozane na tusikufuru

Spread the loveJOTO la chaguzi linapanda kila siku hapa nchini. Upo umuhimu...

error: Content is protected !!