Tuesday , 5 December 2023
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Tume ya Uchaguzi Kenya yalegeza masharti
Makala & Uchambuzi

Tume ya Uchaguzi Kenya yalegeza masharti

Wafula Chebukata, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC)
Spread the love

TUME ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), imeazimia kuongeza muda wa kupiga kura siku ya uchaguzi katika maeneo yenye sheria ya muda wa kutembea, anaandika Catherine Kayombo.

Akizungumza katika mkutano uliofanyika makao makuu ya tume jijini Nairobi, mwenyekiti wa tume, Wafula Chebukata amedokeza kuwa wasimamizi wa uchaguzi katika vituo husika wamekabidhiwa madaraka ya kuongeza muda wa kupiga kura katika vituo ambavyo kazi hiyo inaingiliwa na sababu nyingine halali.

“Kuchelewa kufunguliwa kwa vituo vya kupigia kura katika maeneo yanayoathiriwa na sheria ya kutembea kwa muda husika, kutafidiwa na utekelezaji wakanuni ya 64(1) na 63(1).

Maeneo yenye vizuizi vya muda ni pamoja na Garisa, Lamu na maeneo kando yam to wa Tana lile ambayo yanahusiwa kuwa si salama kuwepo kwa muda mrefu hasa katika kipindi cha uchaguzi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Uongozi wa Samia kuendelea hadi 2030

Spread the loveKWETU sisi tuliowahi kusoma sekondari, iwe O levo au A...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Bado askari wastaafu wanaonewa

Spread the loveRAIS wangu Samia Suluhu Hassan tunaendelea kumshukuru Mungu kwamba wote...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Tunastawisha ufisadi na kuchukia matunda yake

Spread the loveBUNGE la Jamhuri linaloendelea mjini Dodoma, kwa wiki nzima limetawaliwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Wamesahau aliyofanya Magufuli

Spread the loveJUMATATU ya tarehe 16 Oktoba 2023 itabaki kuwa siku ya...

error: Content is protected !!