Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mnyika amvaa Rais Magufuli, akosoa majadiliano
Habari za SiasaTangulizi

Mnyika amvaa Rais Magufuli, akosoa majadiliano

John Mnyika, Mbunge wa Jimbo la KIbamba
Spread the love

JOHN Mnyika, Waziri Kivuli wa Nishati na Madini amesema Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi hakustahili kuongoza timu ya inayoangalia masuala mbalimbali kuhusu mikataba ya madini hapa nchini, anaandika Hamisi Mguta.

Amesema kazi hiyo ingetakiwa kufanywa na  Waziri wa Nishati na Madini kwa kuwa yeye ndiyo mhusika katika sekta hiyo.

Mnyika ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kibamba ametoa hoja hiyo katika mkutano wake na wananchi wa jimbo hilo eneo la Goba mwisho.

Mazungumzo hayo yanafanyika jijini Dar es Salaam kati ya timu ya watalaam wa Tanzania na wenzao kutoka kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick Gold Corporation.

“Kwanini mpaka leo Rais Magufuli hajateua Waziri wa Nishati na Madini ili aongoze majadiliano, anamchukua Waziri wa Katiba na sheria,” amehoji

Tazama VIDEO nzima hapo chini alichozungumza Mnyika…..

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!