Monday , 6 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mnyika amvaa Rais Magufuli, akosoa majadiliano
Habari za SiasaTangulizi

Mnyika amvaa Rais Magufuli, akosoa majadiliano

John Mnyika, Mbunge wa Jimbo la KIbamba
Spread the love

JOHN Mnyika, Waziri Kivuli wa Nishati na Madini amesema Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi hakustahili kuongoza timu ya inayoangalia masuala mbalimbali kuhusu mikataba ya madini hapa nchini, anaandika Hamisi Mguta.

Amesema kazi hiyo ingetakiwa kufanywa na  Waziri wa Nishati na Madini kwa kuwa yeye ndiyo mhusika katika sekta hiyo.

Mnyika ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kibamba ametoa hoja hiyo katika mkutano wake na wananchi wa jimbo hilo eneo la Goba mwisho.

Mazungumzo hayo yanafanyika jijini Dar es Salaam kati ya timu ya watalaam wa Tanzania na wenzao kutoka kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick Gold Corporation.

“Kwanini mpaka leo Rais Magufuli hajateua Waziri wa Nishati na Madini ili aongoze majadiliano, anamchukua Waziri wa Katiba na sheria,” amehoji

Tazama VIDEO nzima hapo chini alichozungumza Mnyika…..

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!