Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Watu 150 wahofiwa kufa ziwani
Kimataifa

Watu 150 wahofiwa kufa ziwani

Ziwa Kivu
Spread the love

WATU 150 wanahofiwa kufa baada ya boti walilokuwa wanasafiria kuzama kwenye Ziwa Kivu, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Taarifa ya tukio hilo imethibitishwa na Rais wa Congo-DRC, Felix Tshisekedi jana terehe 16 Aprili 2019 kupitia akaunti yake ya mtandao wa Twitter.

Katika andiko lake hilo, Rais Tshisekedi alitoa salamu za pole huku akielezwa kusikitishwa kwake na mkasa huo.

Gavana wa Mkoa wa Mashambani wa Tshupa Kaskazini mwa Congo alinukuliwa na vyombo vya habari akisema tukio hilo limetokea katika Ziwa Kivu karibu na eneo la Kalehe  jioni ya Jumatatu tarehe 15 Aprili 2019.

 Kwa mujibu wa taarifa ya za vyombo vya habari nchini Congo-DRC, miili ya watu watatu imeopolewa, na manusura 33 katia kadhia hiyo imeokolewa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!