Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais Kagame ‘bosi’ mpya EAC
Kimataifa

Rais Kagame ‘bosi’ mpya EAC

Spread the love

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Kununua ya Africa Mashariki (EAC). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Wajumbe wa mkutano huo leo tarehe 1 Februari 2019 wamemchagua Rais Kagame kushika nafasi hiyo baada ya Rais Yower Museveni wa Uganda kumaliza muda wake.

Rais Kagame amewahakikishia wajumbe wa mkutano huo uliofanyika Arusha kwamba, ataitende haki nafasi hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!