Friday , 26 April 2024

Day: February 2, 2019

Habari za SiasaTangulizi

Rais wa TFF achafua hali ya hewa, Chadema wamvaa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesikitishwa na kauli ya ukakasi iliyotolewa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Korosho: Mbunge ajiweka rehani

MBUNGE wa Nchinga kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Hamidu Hassan Bobali, ameituhumu serikali kudhulumu wakulima wa korosho katika mikoa ya Lindi, Mtwara na...

Habari Mchanganyiko

Njombe yatikiswa, mtoto mwingine auawa

MTOTO mwingine mwenye umri wa miaka Saba (7), ameuawa leo tarahe 2 Februari, kwa kuchinjwa shingo na watu wasiojulikana wilayani katika eneo la...

Habari za Siasa

Shilingi ya Tanzania yaporomoka

SHILINGI ya Tanzania kwa kipindi kuanzia Julai hadi Novemba 2018 iliporomoka ambapo Dola ya Marekani ilibadilishwa kwa wastani wa Sh. 2,276 ikilinganishwa na...

Habari za Siasa

Deni la taifa lazidi kupaa

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imewasilisha taarifa ya mwaka kuhusu utekelezaji wa majukumu yake katika kipindi cha Januari, 2018 hadi Januari 2019...

Habari za Siasa

Kashfa za serikali zalikwaza Bunge

BUNGE la Tanzania limeonesha kutoridhishwa na namna serikali inavyotekeleza wajibu wake wa kupeleka fedha za miradi kama ambavyo inapaswa kuwa.Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea)....

Habari za Siasa

Esther Bulaya: CCM waifilisi JKT

MBUNGE wa Bunda Mjini (CHADEMA), Esther Bulaya, “ameliamsha dude.” Amesema, serikali imekopa mabilioni ya shilingi mashirika ya umma, ikiwamo Jeshi la Kujenga la...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Chadema atoboa siri ya wizi wa Sh. 2.4 trilioni  

MBUNGE wa Viti Maalum mkoani Mara, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Catherine Ruge, “ameivua nguo serikali.” Amesema, kiasi cha Sh. 2.4...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Tril. 1.5 majibu ni haya

BUNGE limetoa ufafanuzi kuhusu ‘upotevu’ wa kisasi cha Sh. 1.5 trilioni zilizoelezwa kutojulikana matumizi yake katika Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa...

error: Content is protected !!