Friday , 26 April 2024

Day: August 3, 2017

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee ashusha rungu kwa serikali ya JPM

HALIMA Mdee Mbunge wa Kawe amekosoa takwimu zinazotolewa na serikali kuhusu ukuaji wa uchumi pamoja na mikakati inayofanywa ili kunusuru anguko la uchumi,...

Kimataifa

Baraza la usalama latoa taarifa kuhusu Burundi

BARAZA la usalama la Umoja wa Mataifa (UN), limetoa taarifa juu ya hali ya kisiasa nchini Burundi , ikiwa ni moja kati ya...

Makala & Uchambuzi

Al-Shabab yatia doa uchaguzi Kenya

ZIKIWA zimebaki siku tano kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini Kenya, hali ya usalama imeendelea kuwapa wasiwasi wananchi kufuatia mashambulizi pembezoni mwa pwani...

Habari Mchanganyiko

Maonesho ya nane nane yadorora Dodoma

MAONESHO ya Wakulima ya nane nane mwaka huu yanayofanyika mkoani Dodoma yamedorora, anaandika Dany Tibason. Baadhi ya washiriki waliozungumza na MwanaHALISI online katika...

Habari Mchanganyiko

Lake Oil ‘wapigwa kufuli’ Morogoro

SERIKALI mkoani Morogoro kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imevifungia vituo vinne vya kuuza mafuta, kwa kosa la kukiuka agizo la...

Makala & Uchambuzi

Tume ya Uchaguzi Kenya yalegeza masharti

TUME ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), imeazimia kuongeza muda wa kupiga kura siku ya uchaguzi katika maeneo yenye sheria ya muda...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika amvaa Rais Magufuli, akosoa majadiliano

JOHN Mnyika, Waziri Kivuli wa Nishati na Madini amesema Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi hakustahili kuongoza timu ya inayoangalia masuala...

error: Content is protected !!