Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Halima Mdee ashusha rungu kwa serikali ya JPM
Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee ashusha rungu kwa serikali ya JPM

Halima Mdee, Mbunge wa Jimbo la Kawe
Spread the love

HALIMA Mdee Mbunge wa Kawe amekosoa takwimu zinazotolewa na serikali kuhusu ukuaji wa uchumi pamoja na mikakati inayofanywa ili kunusuru anguko la uchumi, anaandika Faki Sosi.

Mdee amesema kuwa kitendo cha serikali kuondoa fedha kwenye benki za biasahara na kuzipeleka Benki Kuu nchi (B0T), kumeleta athari kubwa kwenye sekta ya kibenki inayochangia asilimia 30 ya pato la taifa.

Mdee amesema kuwa benki zimefunga milango ya kukopesha kutokana na uhakika wa kufanya biashara nchini kutokana na mzunguko wa fedha kuwa mgumu.

Wakati huo huo Mdee ameeleza kuwa Takwimu zilizotolewa na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kuwa pato limeongezeka ilhali Halmshauri zimenyang’anywa vyanzo vya mapato ambavyo TRA vimehodhi vyanzo hivyo na kujinadi kuwa wamefanikiwa kukusanya kodi nyingi bila kuonyesha mchanganuo wa mapato hayo.

TAZAMA VIDEO YOTE HAPO CHINI USISAHAU KU-SUBSCRIBE MwanaHALISI TV

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!