Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Ufaulu kidato cha sita 2023 waongezeka
ElimuTangulizi

Ufaulu kidato cha sita 2023 waongezeka

Wanafunzi wa kidato cha sita walipokuwa wanafanya mtihani
Spread the love

 

UFAULU wa mtihani wa kidato cha sita kwa 2023, umeongezeka kwa aislimia 0.2, kutoka 98.97%(2022) Hadi 99.23% mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea).

Hayo yamebainishwa jana Alhamisi na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dk. Said Mohamed, akitangaza matokeo ya mtihani huo.

Dk. Mohamed amesema ufaulu huo ni kwa watahaniwa waliosajiliwa 106,883 (wavulana 59,543, wasichana 47,340), ambapo 104,549 wamefaulu.

Dk. Mohamed alisema wavulana waliofauli ni 57,843 wakati wasichana ni 46,707.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Elimu

Viwanda zaidi ya 200 kuonyesha bidhaa maonyesho ya TIMEXPO Dar

Spread the loveSHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka...

Elimu

Wazazi wa wanafunzi waliokosa nafasi vyuo vikuu waonyeshwa njia na GEL

Spread the loveWAKALA wa Elimu ya Vyuo Vikuu Nje ya Nchi, Global Education...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini

Spread the loveZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana...

Habari MchanganyikoTangulizi

Afya ya akili yatajwa chanzo kuvunjika ndoa

Spread the loveCHANGAMOTO ya afya ya akili, imetajwa kuwa chanzo cha migogoro...

error: Content is protected !!