Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Ufaulu kidato cha sita 2023 waongezeka
ElimuTangulizi

Ufaulu kidato cha sita 2023 waongezeka

Wanafunzi wa kidato cha sita walipokuwa wanafanya mtihani
Spread the love

 

UFAULU wa mtihani wa kidato cha sita kwa 2023, umeongezeka kwa aislimia 0.2, kutoka 98.97%(2022) Hadi 99.23% mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea).

Hayo yamebainishwa jana Alhamisi na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dk. Said Mohamed, akitangaza matokeo ya mtihani huo.

Dk. Mohamed amesema ufaulu huo ni kwa watahaniwa waliosajiliwa 106,883 (wavulana 59,543, wasichana 47,340), ambapo 104,549 wamefaulu.

Dk. Mohamed alisema wavulana waliofauli ni 57,843 wakati wasichana ni 46,707.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

Spread the loveSERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha...

ElimuHabari Mchanganyiko

Chongolo aagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa bweni

Spread the loveMkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemuagiza Kamanda wa...

error: Content is protected !!