Wednesday , 8 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Sherehe za Uhuru zapigwa ‘stop’
Habari za Siasa

Sherehe za Uhuru zapigwa ‘stop’

Spread the love

RAIS John Magufuli amepiga ‘stop’ kufanyika Sherehe za Uhuru mwaka huu. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa amesema hayo leo Jumanne na kwamba, kila mkoa na wilaya watasherehekea kwa namna watavyopanga kwenye maeneo yao.

Waziri Majaliwa amesema kuwa, Rais Magufuli ameagiza pesa ambazo ni zaidi ya Sh. 900 milioni zingetumika kwenye sherehe hizo zitaelekezwa kwenye ujenzi wa hospitali.

Hospitali hiyo inatarajiwa kujengwa jijini Dodoma itakayoitwa Hospitali ya Uhuru.

Sherehe za Uhuru hufanyika tarehe 9 Desemba kila mwaka.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Samia: Matumizi ya nishati safi sio anasa, ladha ipo

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya nishati safi kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Kuanzia Agosti marufuku kutumia mkaa, kuni

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mwendokasi Kigogo – Segerea kujengwa awamu ya 5

Spread the loveNaibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Festo Dugange...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

error: Content is protected !!