Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Serikali yashauriwa kutenga maeneo ya wafugaji
Habari Mchanganyiko

Serikali yashauriwa kutenga maeneo ya wafugaji

Wafigaji
Spread the love

SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kutenga maeneo kwa ajili ya ufugaji mkubwa kwa kutumia mashamba pori yaliyotaifishwa kutoka kwa wakulima walioshindwa kuyaendeleza ili kupunguza migogoro ya ardhi, anaandika Christina Haule.

Hayo yamesemwa leo na mwenyekiti wa baraza la ardhi la kijiji cha Mikese, wilayani Morogoro, Abdalah Maseni kwenye mdahalo ulioandaliwa na shirika la Uluguru Mountains Morogoro Agricultural Development Project (UMADEP ) kupitia

PELUM Tanzania , uliokuwa ukijadili nini mchango wa baraza la kijiji na mpango wa matumzi bora ya ardhi ulivyosaidia kupunguza migogoro ya ardhi vijijini.

Amesema kuwa kufuatia serikali kuwa imerejesha mikononi mwake mashamba mengi kutoka kwa wawekezaji ni bora ikatafuta baadhi ya mashamba makubwa na kutengenezea miundombinu rafiki kwa wafugaji .

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!