Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Serikali yashauriwa kutenga maeneo ya wafugaji
Habari Mchanganyiko

Serikali yashauriwa kutenga maeneo ya wafugaji

Wafigaji
Spread the love

SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kutenga maeneo kwa ajili ya ufugaji mkubwa kwa kutumia mashamba pori yaliyotaifishwa kutoka kwa wakulima walioshindwa kuyaendeleza ili kupunguza migogoro ya ardhi, anaandika Christina Haule.

Hayo yamesemwa leo na mwenyekiti wa baraza la ardhi la kijiji cha Mikese, wilayani Morogoro, Abdalah Maseni kwenye mdahalo ulioandaliwa na shirika la Uluguru Mountains Morogoro Agricultural Development Project (UMADEP ) kupitia

PELUM Tanzania , uliokuwa ukijadili nini mchango wa baraza la kijiji na mpango wa matumzi bora ya ardhi ulivyosaidia kupunguza migogoro ya ardhi vijijini.

Amesema kuwa kufuatia serikali kuwa imerejesha mikononi mwake mashamba mengi kutoka kwa wawekezaji ni bora ikatafuta baadhi ya mashamba makubwa na kutengenezea miundombinu rafiki kwa wafugaji .

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tanzania yakabidhi rasmi msaada nchini Malawi

Spread the loveWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Tumeshagawa pikipiki 5,500 kati ya 7,000 kwa maafisa ugani

Spread the love  WAZIRI wa Kilimo, Hussen Bashe, amesema wizara hiyo tayari...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia awapa neno mawaziri utekelezaji mashamba ya pamoja

Spread the love  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amewataka mawaziri kushirikiana...

Habari Mchanganyiko

Ukosefu wa maadili kwa wakunga, wauguzi bado changamoto

Spread the loveIMEELEZWA kuwa vitendo vya uvunjifu wa maadili kwa  wauguzi na...

error: Content is protected !!