Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais Afghanistan: Narudi nyumbani, sikuiba pesa
Kimataifa

Rais Afghanistan: Narudi nyumbani, sikuiba pesa

Rais wa Afghanistan, Ashraf Ghani
Spread the love

RAIS wa Afghanistan, Ashraf Ghani ambaye alikuwa akiongoza nchi ya hiyo kabla ya kundi la Taliban kuiteka mapema wiki hii, amehutubia taifa hilo na kusema anatarajia kurejea nyumbani.

Rais Ghani ambaye alitoroka nchi yake na kuelekea katika nchi za falme za kiarabu – UAE amesema hana mpango wa kuishi huko kwa sababu Kabul ndio nyumbani kwake.

Pia amekanusha madai ya kutoroka na fedha dola za Marekani milioni 169.

Ghani ametoa kauli hiyo jana Agosti 18, wakati akihutubia wananchi wa Afghanistan kufuatia madai mbalimbali yaliyoibuka dhidi yake.

Amesema wakati anatoroka, hakuweza kuvaa hata viatu bali alivaa sendoz pekee na hakubeba fedha zozote wala hata za kujikimu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!