Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Polepole atoa salamu za mwaka mpya “tukatae wahuni”
Habari za Siasa

Polepole atoa salamu za mwaka mpya “tukatae wahuni”

Mbunge wa kuteuliwa Humphrey Polepole (CCM)
Spread the love

 

MBUNGE wa Kuteuliwa (CCM), Humphrey Polepole amewaonya wale wote wanaoghushi mitandaoni na kuwaomba wananchi kwa mwaka 2022 “kazi moja ni kukataa wahuni mpaka kieleweke.”

3 Comments

  • Asante ndugu pole pole kama imeandikwa fungu la kukosa ni la kukosa ni vigumu kufutwa tuache fitina hazina faida

  • Mwalimu Nyerere aliwahi kusema “kukosoa na kukosoana, ni silaha ya mapinduzi.” Mimi simuogopi Polepole na hoja zake. Naweza kwenda bega kwa bega na hoja. Je, wewe umeshindwa kutoa hoja yako?
    Hatuwezi kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo kwa kuzima akili za wengine kwa kisingizio cha fitina.
    Hata Mungu alipingwa na asilimia 30 ya malaika.
    Je, umerekebisha wapi palipoonwa ni pabovu kwenye nchi yetu ya Tanzania? Sheria zipo, hazitumiwi. Kama kasema wahuni ni wale wasiolipa kodi. Wewe kinakuuma nini?
    Mama Samia keshamtuma waziri husika, kaingia bandarini usiku. Mwache Mama apate hoja za pande zote afanye uamuzi wake. Nyinyi mnaonyamazisha watu mnainyima Tanzania maendeleo chanya.
    Mama kasema bebeni mabango, lako liko wapi? Humsaudii Mama Samia, unajenga chuki. Kasema, asitupiwe gari bovu, bali aonyeshwe penye makosa ataangalia na kurekebisha.
    HONGERA MAMA SAMIA KWA UKOMAVU WA KISIASA NA KIUCHUMI.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

error: Content is protected !!