Sunday , 2 April 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Marekani, Kenya wasaini mkataba wa usalama, biashara
Kimataifa

Marekani, Kenya wasaini mkataba wa usalama, biashara

Spread the love

DONALD Trump, Rais wa Marekani na Rais Uhuru Kenyetta wa Kenya wamesaini mikataba yenye thamani ya dola za kimarekani 900 milioni, huku sehemu kubwa ya makubaliano ya mikataba hiyo ikiwa ni masuala ya usalama na biashara. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Trump na Kenyatta wamesaini mikataba hiyo jana tarehe 27 Agosti, 2018 walipokutana kwa ajili ya kufanya mazungumzo kwenye Ikulu ya ‘White House’ iliyoko mjini Washington nchini Marekani.

Marais hao  kwa pamoja walikubaliana kushirikiana katika kupambana na masuala ya usalama na ulinzi hasa kudhibiti vitendo vya kigaidi pamoja na kuboresha ushirikiano katika biashara na uwekezaji.

Katika hatua nyingine, viongozi hao wakuu wa nchi walijadiliana kuhusu masuala ya usafiri, ikiwemo  safari za moja kwa moja kutoka Nairobi nchini Kenya hadi New York nchini Marekani zitakazo anza mwezi Oktoba, 2018 na kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba safari hizo zitaimarisha utalii na biashara kwa manufaa ya nchi hizo mbili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Marekani yatia mguu maaandamano Kenya, yatoa maagizo kwa Rais Ruto, Odinga

Spread the love  Mabalozi kutoka nchi sita za Magharibi, zikiongozwa na Marekani,...

Kimataifa

Papa Francis alazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu

Spread the love  KIONGOZI wa Kanisa katoliki duniani, Papa Francis jana Jumatano...

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

Spread the love  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

Spread the love  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali...

error: Content is protected !!