Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Kenyatta: Tuna uhuru wa kisiasa, lakini tunahitaji uhuru wa kiuchumi
Habari Mchanganyiko

Kenyatta: Tuna uhuru wa kisiasa, lakini tunahitaji uhuru wa kiuchumi

Rais Uhuru Kenyata
Spread the love

 

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amesema nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zina uhuru wa kisiasa, lakini zinahitaji uhuru wa kiuchumi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea).

Rais Kenyetta amesema hayo akizungumza katika mkutano wa wakuu wa nchi za EAC, leo Alhamisi, tarehe 21 Julai 2022, jijini Arusha.

“Tuna uhuru wa kisiasa, lakini tunahitaji uhuru wa kiuchumi. Tuwe tunajitegemea na tunahitaji kuboresha miundombinu ili soko letu lwie kubwa zaidi,” amesema Rais Kenyatta.

Rais huyo wa Kenya, amezitaka nchi za jumuiya hiyo kutumia vyema rasilimali zake katika kujikomboa kiuchumi.

2 Comments

  • Duh!
    Ukitaka uhuru wa uchumi, kwanza uza mali zisizo zako.
    Viongozi wengi wa Afrika ni matajiri kwa sababu wanaiba kwa kalamu.(white collar theft).
    Pia, muache kuiibia Tanzania madini, mazao na utalii wake.

  • Duh!
    Mbona mumempiga vita Rostam Aziz?
    Biashara makampuni hamsini kwa hamsini. Tunataka hivyo, kwa sababu 2/3 ya nchi yako ni jangwa-usu. Hivyo, unategemea kuinyonya Tanzania.
    Watanzania tuache kuwa mabwege wa wakenya.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari Mchanganyiko

Chongolo aonya viongozi vijiji kutouza NIDA kwa wageni

Spread the loveMKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewaonya viongozi wa...

error: Content is protected !!