Wednesday , 8 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Majaliwa akagua mradi utakaonufaisha wanafunzi 600
Elimu

Majaliwa akagua mradi utakaonufaisha wanafunzi 600

Spread the love

 

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo tarehe 15 Julai, 2022 ameanza ziara ya kikazi mkoani Singida na kutembelea mradi wa ujenzi wa shule itakayonufaisha wanafunzi zaidi ya 600. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea).

Majaliwa ameanza kwa kutembelea Shule hiyo ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Singida iliyopo katika kata ya Solya, Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

Ujenzi wa Shule hiyo ambao unatekelezwa kwa awamu mbili, utagharimu shilingi bilioni 4 mpaka kukamilika kwake.

Halmashauri hiyo ilipokea shilingi bilioni 3 kwa ajili ya kugharamia ujenzi katika awamu ya kwanza.

Mradi hui utakapokamilika utawezesha wanafunzi 600 kutoka mkoa wa Singida kupata fursa ya elimu ya Sekondari.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

Serikali kuongeza wanufaika mikopo ya elimu ya juu

Spread the loveSERIKALI imesema itaongeza idadi ya wanufaika wa mikopo ya elimu...

ElimuHabari za Siasa

Serikali kufumua mitaala ya vyuo vikuu, ufundi stadi

Spread the loveSERIKALI inakusudia kufanya mapitio katika mitaala na programu za vyuo...

ElimuHabari Mchanganyiko

Chongolo aagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa bweni

Spread the loveMkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemuagiza Kamanda wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Ugawaji taulo za kike watajwa kutokomeza utoro shuleni

Spread the loveBAADHI ya wanafunzi na walimu wa shule za sekondari mkoani...

error: Content is protected !!