Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Majaliwa akagua mradi utakaonufaisha wanafunzi 600
Elimu

Majaliwa akagua mradi utakaonufaisha wanafunzi 600

Spread the love

 

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo tarehe 15 Julai, 2022 ameanza ziara ya kikazi mkoani Singida na kutembelea mradi wa ujenzi wa shule itakayonufaisha wanafunzi zaidi ya 600. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea).

Majaliwa ameanza kwa kutembelea Shule hiyo ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Singida iliyopo katika kata ya Solya, Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

Ujenzi wa Shule hiyo ambao unatekelezwa kwa awamu mbili, utagharimu shilingi bilioni 4 mpaka kukamilika kwake.

Halmashauri hiyo ilipokea shilingi bilioni 3 kwa ajili ya kugharamia ujenzi katika awamu ya kwanza.

Mradi hui utakapokamilika utawezesha wanafunzi 600 kutoka mkoa wa Singida kupata fursa ya elimu ya Sekondari.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

error: Content is protected !!