Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Biashara Wiki ya Manunuzi ya Umma: NMB yatoa T-shirt 800
Biashara

Wiki ya Manunuzi ya Umma: NMB yatoa T-shirt 800

Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini, Dismas Prosper akikabidhi T- Shirt 800 zilizotolewa na Benki ya NMB kwa Afisa Ugavi Wizara ya Fedha na Mipango, Hilda Segere kwa ajili ya Wiki ya manunuzi ya Umma itakayofanyia jijini Arusha kuanzia tarehe 5-7. Kulia ni Afisa Habari wa Wizara ya Fedha na Mipango, Saidina Msangi
Spread the love

BENKI ya NMB nchini Tanzania imetoa T-shirt 800 kwa Wizara ya Fedha na Mipango kwa ajili ya wiki ya Manunuzi ya Umma nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha…(endelea).

Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini, Dismas Prosper akikabidhi T- Shirt zilizotolewa na Benki ya NMB kwa Afisa Ugavi Wizara ya Fedha na Mipango, Hilda Segere kwa ajili ya Wiki ya manunuzi ya Umma itakayofanyia jijini Arusha kuanzia tarehe 5-7. Kushoto ni Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Clocktower, Emmanuel Kishosha na Kulia ni Afisa Habari wa Wizara ya Fedha na Mipango, Saidina Msangi

Wiki hiyo ya manunuzi yenye kauli mbiu ya ‘Matumizi ya teknolojia katika kubiresha ununuzi wa umma’ imezinduliwa leo Alhamisi tarehe 5-7 Mei 2022 na Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa jijini Arusha.

T-shirt hizo zimekabidhiwa na Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini, Dismas Prosper kwa Afisa Ugavi Wizara ya Fedha na Mipango, Hilda Segere.

Aidha, kwenye makabidhiano hayo alikuwepo Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Clock tower, Emmanuel Kishosha.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Biashara

Cheza sloti ya Zombie Apocalypse na ushinde kirahisi

Spread the love Wengi wetu hupenda filamu za Mazombie huwa zinatishakidogo lakini...

Biashara

Ushirikishwaji wa wafanyakazi ni muhimu katika utekelezaji wa sera za afya na usalama kazini

Spread the love  KILA ifikapo Aprili 28 ya kila mwaka, dunia huadhimisha...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Biashara

Wazir Jr kinara wa ufungaji KMC FC ajiunga Meridianbet

Spread the love    MUITE Wazir Jr ‘The King of CCM Kirumba’,...

error: Content is protected !!