Wednesday , 8 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Urusi yasitisha huduma ya gesi Poland, Bulgaria
Kimataifa

Urusi yasitisha huduma ya gesi Poland, Bulgaria

Rais wa Urusi, Vladimir Putin
Spread the love

 

KAMPUNI ya Gazprom, ambayo ni msambazaji mkuu wa gesi asilia nchini Urusi imesitisha usambazaji wa gesi kwa nchi za Bulgaria na Poland, baada ya nchi hizo kukataa kulipia nishati kwa ruble. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa msaada wa Mashirika ya Kimataifa … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo jumatano tarehe 27 Aprili 2022 na kampuni hiyo, imesema kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema nchi ambazo, zinazoonekana sio rafiki kwa Urusi lazima zianze kulipia usambazaji wa gesi kutoka nchini humo kwa rubles.

Hata hivyo nchi zingine za Ulaya zimekataa kulipia kwa rubles, lakini hivi sasa ni nchi mbili ambazo Urusi imetangaza inasitisha Poland na Bulgaria.

Gazprom imewaonya Poland na Bulgaria,ikiwa wataamua kutumia gesi inayosafirishwa kwenda nchi zingine basi italazimika kupunguza kiwango hicho ambacho wataamua kuzuia kinyume cha sheria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!