Sunday , 12 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Watoto wachanga Ukraine wapewa majina ya makombora
Kimataifa

Watoto wachanga Ukraine wapewa majina ya makombora

Spread the love

WATOTO wawili waliozaliwa nchini Ukraine katika siku za hivi karibuni wamepewa majina ya makombora ya kutoka ardhini hadi angani yaliyotengenezwa nchini Uingereza.

Watoto hao walikuwa mvulana anayeitwa Yan Javelin na msichana aliyeitwa Javelina.

Majina hayo yasiyo ya kawaida yalisajiliwa katika Jimbo la Vinnytsia.

Mke wa rais wa zamani wa Ukraine, Kateryna Yushchenko alisema ni ishara ya shukrani kwa silaha za Magharibi ambazo zimetumwa Ukraine.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Palestina mwanachama wa 194 wa UN

Spread the loveBaraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Ijumaa limepitisha kwa...

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

error: Content is protected !!