Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Maisha Afya Tozo miamala ya simu yajenga Kituo cha afya Musoma
Afya

Tozo miamala ya simu yajenga Kituo cha afya Musoma

Spread the love

JUMLA ya Sh milioni 250 zilizopatikana kutokana na tozo za miamala ya simu zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa Kituo cha Afya Rukuba kilichopo Musoma vijijini mkoani Mara. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea).

Hayo yameelezwa na Mbunge wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo (CCM) alipotembelea ujenzi wa kituo hicho jana tarehe 4 Machi, 2022.

Aidha, baadhi ya wakazi wa Rukuba wameelezea furaha yao kutokana na ujenzi wa Kituo hicho na kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha huduma za kijamii nchini.

Pamoja na mambo mengine Kituo hicho cha afya, kitakuwa na maabara ambayo jengo lake limekamilika, wodi ya mama na watoto ambayo ujenzi wake upo ngazi ya msingi na jengo la kituo kizima ambalo lipo ngazi ya kukaribia kuezekwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Afya

Mloganzila yajipanga kupandikizaji wa ini

Spread the love  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imesema kutokana na uwekezaji uliofanywa...

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

Spread the loveSERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

Spread the loveSHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika...

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

Spread the loveSERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha...

error: Content is protected !!