Wednesday , 1 May 2024
Home Gazeti Habari Wanafunzi 10 bora kitaifa mtihani wa Kidato cha nne (2021) hawa hapa, wasichana waongoza
HabariTangulizi

Wanafunzi 10 bora kitaifa mtihani wa Kidato cha nne (2021) hawa hapa, wasichana waongoza

Spread the love

 

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku wasichana wakiongoza katika kundi la watahiniwa 10 bora kitaifa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa leo tarehe 15, 2022 na Katibu mtendaji wa Baraza la Mitihani (Necta), Dk. Charles Msonde yameonesha kuwa jumla ya wanafunzi wa kike nane kati ya 10 wameingie kwenye kundi hilo.

Aidha, Shule ya Sekondari ya Wasichana St. Francis iliyopo mkoani mbeya ndiyo iliyotoa wanafunzi watano bora kitaifa kuanzia mshindi wa kwanza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

Spread the loveRais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia...

Habari za SiasaTangulizi

Wizara Katiba na Sheria yaliomba Bunge Sh. 441.2 bilioni

Spread the love  WIZARA ya Katiba na Sheria imeliomba Bunge liidhinishe bajeti...

error: Content is protected !!