Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari Kigogo kujitosa kumrithi Ndugai
HabariHabari za SiasaTangulizi

Kigogo kujitosa kumrithi Ndugai

Spread the love

 

KIGOGO mwandamizi nchini Tanzania, kati ya leo Ijumaa na kesho, anatarajiwa kujitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Spika wa Bunge. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vyetu, kikiwamo Chama Cha Mapinduzi (CCM), kigogo huyo anapewa nafasi kubwa ya kushinda nafasi hiyo, na amepanga kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo kupitia CCM.

“Kati ya leo na kesho, kama mambo yatakwenda kama yalivyo, basi kuna kiongozi mwandamizi serikalini na bungeni, anatarajiwa kuchukua fomu ya kuwania uspika. Hilo likitokea, basi fahamu kuwa huyo ndiye anayeweza kuwa Spika wetu mpya.”

Kigogo gani huyo, soma zaidi Gazeti la Raia Mwema la leo Ijumaa, tarehe 14 Januari 2022

2 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!