Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia ateua Manaibu mawaziri watano, Mavunde arudi, Ridhiwani Kikwete apenya
Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua Manaibu mawaziri watano, Mavunde arudi, Ridhiwani Kikwete apenya

Ridhiwani Kikwete, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Spread the love

 

RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 8 Januari, 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na nafasi za makatibu wakuu na naibu makatibu wakuu huku akiteua manaibu mawaziri wapya watano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Katika taarifa iliyosomwa kwa umma kupitia vyombo vya habari Ikulu jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga, Rais Samia amemteua Athony Mavunde kuwa Naibu Waziri wa Kilimo,

Amemteua Jumanne Abdalah Sagini kuwa naibu waziri mambo ya ndani wakati Dk. Lemomo Ole Kiruswa ameteuliwa kuwa naibu waziri wizara ya madini,

Pia Ridhiwani Kikwete ameteuliwa kuwa naibu waziri wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wakati Atupele Mwakibete ameteuliwa kuwa naibu waziri wa ujenzi na uchukuzi upande wa sekta ya uchukuzi.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

error: Content is protected !!