Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia ateua Manaibu mawaziri watano, Mavunde arudi, Ridhiwani Kikwete apenya
Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua Manaibu mawaziri watano, Mavunde arudi, Ridhiwani Kikwete apenya

Ridhiwani Kikwete, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Spread the love

 

RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 8 Januari, 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na nafasi za makatibu wakuu na naibu makatibu wakuu huku akiteua manaibu mawaziri wapya watano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Katika taarifa iliyosomwa kwa umma kupitia vyombo vya habari Ikulu jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga, Rais Samia amemteua Athony Mavunde kuwa Naibu Waziri wa Kilimo,

Amemteua Jumanne Abdalah Sagini kuwa naibu waziri mambo ya ndani wakati Dk. Lemomo Ole Kiruswa ameteuliwa kuwa naibu waziri wizara ya madini,

Pia Ridhiwani Kikwete ameteuliwa kuwa naibu waziri wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wakati Atupele Mwakibete ameteuliwa kuwa naibu waziri wa ujenzi na uchukuzi upande wa sekta ya uchukuzi.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!