Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia ateua mawaziri wapya, Nape, Pindi Chana ndani
Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua mawaziri wapya, Nape, Pindi Chana ndani

Nape Nnauye, Waziri wa Habari
Spread the love

 

RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 8 Januari, 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na nafasi za makatibu wakuu na naibu makatibu wakuu huku akiteua mawaziri wapya watano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Katika taarifa iliyosomwa kwa umma kupitia vyombo vya habari Ikulu jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga, Nape Nnauye ameteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.

Aliyekuwa Naibu Waziri Fedha na Mipango, Hamadi Yusuph Masauni ameteuliwa kuwa waziri wizara ya mambo ya ndani ya nchi.

Dk. Pindi Chana ameteuliwa kuwa Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu atakayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratitbu.

Rais Samia pia amemteua aliyekuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angelina Mabula kuwa waziri wa wizara hiyo.

Wakati aliyekuwa naibu waziri wa kilimo Hussein Bashe amemteua kuwa waziri wa kilimo.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!