Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Baraza la Mawaziri Tanzania: Majaliwa mguu ndani, nje
Habari za Siasa

Baraza la Mawaziri Tanzania: Majaliwa mguu ndani, nje

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania
Spread the love

 

HOMA imeanza kupanda kwa baadhi ya mawaziri, naibu mawaziri na wabunge, kutokana na kauli ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuwa atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Miongoni mwa wanaoelezwa kuwa homa imeanza kuwapanda na kuwashuka, kuwa ni pamoja na Waziri Mkuu wa sasa, Kassim Majaliwa, ambaye naye hajajua hatima yake.

Kwa mujibu wa taarifa za ndani ya Serikali na kwa watu wa karibu na Rais Samia, Amiri Jeshi Mkuu huyo wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, anatarajia kufanya mabadiliko hayo, mwanzoni mwa Februari 2022.

Hatua hiyo, inazidisha homa kwa nafasi ya Majaliwa kuendelea ama kuenguliwa kwenye wadhifa huo, alioanza kuutumikia Novemba 20, 2015, alipoapishwa na Rais John Magufuli.

Undani wa habari hii, soma Gazeti la Raia Mwema leo Ijumaa 7 Januari 2022, kujua sura hizo mpya na maoni ya mchambuzi wa masuala ya kisiasa akizungumzia mabadiliko hayo na uchaguzi 2025 unavyoathiriwa na kifo cha aliyekuwa Rais, John Magufuli.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

error: Content is protected !!