Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa #LIVE- Ndugai amuibua James Mbatia
Habari za Siasa

#LIVE- Ndugai amuibua James Mbatia

Spread the love

 

MWENYEKITI wa chama cha upinzani Tanzania- NCCR-Mageuzi, James Mbatia anazungumza na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo kujiuzulu kwa Job Ndugai kuwa Spika wa Bunge la nchi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Ndugai alitangaza kujiuzulu jana Alhamisi, tarehe 6 Januari 2022.

Fuatilia matangazo haya moja kwa moja kutoka makao makuu ya NCCR-Mageuzi, Ilala jijini Dar es Salaam.

https://youtu.be/c3y_od59T8c

1 Comment

  • Hatuna muda ya kumsikiliza kiongozi ambaye hana uwezo wa kuongoza isipokuwa anao uwezo wa kujiongza

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!