Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia awatembelea Jaji Warioba, Msuya
Habari za Siasa

Rais Samia awatembelea Jaji Warioba, Msuya

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatembelea mawaziri wakuu wastaafu, Cleopa Msuya na Jaji Joseph Warioba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …(endelea).

Rais Samia amewatembelea viongozi hao wastaafu leo Alhamisi, tarehe 2 Desemba 2021, katika makazi yao kwa nyakati tofauti.

Picha zilizotolewa na Ikulu ya Tanzania, zinamwonesha Rais Samia akisalimia na kisha kuzungumza na Msuya na nyingine, akizungumza na Jaji Warioba.

Maelezo ya picha hizo, zinaeleza kwamba, Rais Samia amewatembelea wastaafu hao ni kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Tanzania Bara.

Kilele cha maadhimisho hayo, itakuwa tarehe 9 Desemba 2021, katika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!