Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CUF kwazidi kufukuta, kufikishana kortini
Habari za Siasa

CUF kwazidi kufukuta, kufikishana kortini

Prof. Ibrahim Lipumba
Spread the love

 

JUMUIYA ya Wanawake ya chama cha upinzani nchini Tanzania- Chama cha Wananchi (JUKECUF), imekiomba chama kuwafungulia kesi wanachama waliofukuzwa kwa madai ya kukikiibia chama hicho. Anaripoti Seleiman Msuya, Dar es Salaam … (endelea).

Hata hivyo, waliofukuzwa wamesema wao ndio watafungua kesi ili watoa tuhuma wathibitishe tuhuma zao.

Aidha, waliofukuzwa wamedai Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amezungukwa na genge la wapigaji.

Waliofutiwa uanachama CUF ni Ahmed Hamis, Mohamed Vuai, Ali Makame, Mtumwa Ambari, Hamida Huweshi, Dhifaa Mohamed Bakari, Chande Jidawi na Abdul Kambaya.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mtendaji wa JUKECUF, Anna Ryoba akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya chama hicho Buguruni, Dar es Salaam huku kwa upande wa waliofukuzwa akizungumza Kambaya.

Undani wa habari hii, soma Gazeti la Raia Mwema, toleo la leo Jumatatu 15 Novemba 2021

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

Habari za Siasa

Serikali yawapa maagizo Ma-RC udhibiti magonjwa yasiyoambukiza

Spread the loveWAKUU wa mikoa nchini wametakiwa kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wananchi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

error: Content is protected !!