Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mtuhumiwa ulawili wa mtoto na kumsababishia kifo mbaroni
Habari Mchanganyiko

Mtuhumiwa ulawili wa mtoto na kumsababishia kifo mbaroni

Kamanda Polisi wa Kanda ya Dar es Salaam, Jumanne Murilo
Spread the love

 

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linamshikilia mtu mmoja mwenye umri wa miaka 16 kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa miaka minne na baadaye kupoteza maisha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 11 Novemba 2021 na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo, Jumanne Muliro amesema, mtuhumiwa huyo jina linahifadhiwa kwa sasa.

Kamanda Muliro amesema, tukio hilo lilitokea jana Jumatano, tarehe 10 Novemba 2021 saa 3 asubuhi maeneo ya Chamazi Mbande wilaya ya Temeke.

“Uchunguzi wa kina juu ya tukio hilo unafanyika na hatua za kisheria wakati wa uchunguzi zitazingatiwa ili haki itendeke,” amesema Muliro

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari Mchanganyiko

Chongolo aonya viongozi vijiji kutouza NIDA kwa wageni

Spread the loveMKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewaonya viongozi wa...

error: Content is protected !!