Wednesday , 8 May 2024
Home Kitengo Michezo Yanga warejea kimyakimya
Michezo

Yanga warejea kimyakimya

Spread the love

 

KLABU ya Yanga imerejea nchini usiku wa kuamkia leo ikitokea Nigeria ilikokwenda kupepetana na River United ikiwa ni mchezo wa marudiano wa kombe la klabu bingwa Afrika. Anaripoti Mintanga Hunda TUDARCo … (endelea).

Yanga imerejea huku ikiwa imepoteza mchezo wake huo wa jana na kutupwa nje ya mashindano hayo ya kimataifa.

Ikumbukwe kwenye mchezo wa awali uliochezwa Dar es salaam Yanga ilifungwa bao 1-0 na kutolewa nje ya mashindano kwa jumla ya idadi ya magoli 2-0.

Uongozi wa klabu hiyo umetoa malalamiko mbalimbali juu ya vitendo walivyofanyiwa na uongozi wa Rivers United pamoja na kucheleweshewa majibu ya vipimo vya Covid 19 ambayo pia yalionesha wachezaji kadhaa wa Yanga wanamaambukizi.

Baada ya kurejea, Yanga sasa wanajipanga kupepetana na watani wao wa jadi – Simba kwenye mchezo wa ngao ya jamii ambao utafanyika tarehe 25 Septemba 2021 katika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Piga pesa na mechi za UEFA

Spread the love  HATIMAYE leo hii ndio kitaeleweka nani aende Nusu Fainali...

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

error: Content is protected !!