Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Real Madrid yashusha mvua ya mabao
Michezo

Real Madrid yashusha mvua ya mabao

Spread the love

TIMU ya Real Madrid imeitandika Celta Virgo mabao 5-2, jana tarehe 12 Septemba, 2021 kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu liliopo jijini Madrid Hispania. Anaripoti Wiston Josia TUDARCo … (endelea).

Katika mchezo huo ambao miamba hao wa Los Blancos  kuibuka na ushindi huo mnono, mshambuliaji wake, Karimu Benzema akifunga mabao matatu (hat-trick), Vinicius Junior akifunga bao moja huku kijana mpya kwenye kikosi hicho, Eduado Camavinga naye aliikisa nyavu mara moja.

Benzema jana alikuwa katika kiwango bora pamoja na kijana mpya Camavinga ambao walijitoa ili kupata ushindi ambao ulikuwa ni wa muhimu sana.

Mpaka sasa Madrid wanaongoza katika msimamo wa Ligi Kuu ya Hispania ikiwa na pointi sawa na Valencia na Atletico Madrid huku wababe wenzake Bacelona wakiwa nafasi ya saba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!