Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Real Madrid yashusha mvua ya mabao
Michezo

Real Madrid yashusha mvua ya mabao

Spread the love

TIMU ya Real Madrid imeitandika Celta Virgo mabao 5-2, jana tarehe 12 Septemba, 2021 kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu liliopo jijini Madrid Hispania. Anaripoti Wiston Josia TUDARCo … (endelea).

Katika mchezo huo ambao miamba hao wa Los Blancos  kuibuka na ushindi huo mnono, mshambuliaji wake, Karimu Benzema akifunga mabao matatu (hat-trick), Vinicius Junior akifunga bao moja huku kijana mpya kwenye kikosi hicho, Eduado Camavinga naye aliikisa nyavu mara moja.

Benzema jana alikuwa katika kiwango bora pamoja na kijana mpya Camavinga ambao walijitoa ili kupata ushindi ambao ulikuwa ni wa muhimu sana.

Mpaka sasa Madrid wanaongoza katika msimamo wa Ligi Kuu ya Hispania ikiwa na pointi sawa na Valencia na Atletico Madrid huku wababe wenzake Bacelona wakiwa nafasi ya saba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!