Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Manara: Nitailinda heshima ya Hans Pope
Michezo

Manara: Nitailinda heshima ya Hans Pope

Haji Manara
Spread the love

 

HAJI Sunday Manara, Msemaji wa Mabingwa wa Kihistori wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam amesema, wema aliooneshwa na Zacharia Hans Pope, atauenzi kwa kulinda heshima yake. Anaripoti Damas Ndelema, TUDARCo … (endelea).

Manara amesema hayo leo Jumatatu, tarehe 13 Septemba 2021, katika shughuli ya kuuga mwili wa Hans Pope kwenye viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam. Alifariki 11 Septemba 2021, Hospitali ya Aga Khani jijini humo.

Kabla ya Manara kuhamia Yanga, alikuwa msemaji wa Simba, hali iliyomwezesha kufanya kazi na Hans Pope aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa timu hiyo.

Zaidi alichokizungumza Manara na kile alichokijibu baada ya kuonekana kutofautiana na Hans Pope hadi kuhamiaYanga. Fuatilia hapa:

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!