Wednesday , 1 May 2024
Home Kitengo Michezo Coastal Union yashusha kocha Mmarekani
Michezo

Coastal Union yashusha kocha Mmarekani

Melis Medo
Spread the love

 

KLABU ya soka ya Coastal Union imemtambulisha Kocha wake mpya, Melis Medo kwa mkataba wa miaka miwili, leo tarehe 30 Agosti, 2021 kupitia mtandao wake wa kijamii wa instagram. Anaripoti Wiston Josia TUDARCo … (endelea).

Klabu yenye makao makuu yake jijini Tanga, imemtambulisha kocha huyo kwa lengo la kuimarisha kikosi chake ambacho katika msimu uliopita hakikufanya, hali iliyopelekea kuchezwa katika hatua ya mtoano ili kubali Ligi Kuu msimu.

Coastal iliyokuwa inanolewa na Juma Mgunda, katika hatua hiyo walikutana na Pamba ya Mwanza na kufanikiwa kushinda na kubaki katika ligi hiyo.

Medo raia wa Marekani, alikuwa anaifundisha timu ya Gwambina FC ya Misungwi jijini Mwanza.

Coastal imelazimika kufanya mabadiliko hayo ya benchi la ufundi kwa lengo la kujiweka vizuri karika msimu huu na kuepuka kile kilichotokea msimu uliopita kunusulika kushuka daraja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!