Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Anna Mghwira afariki dunia
Habari za SiasaTangulizi

Anna Mghwira afariki dunia

Marehemu Anna Elisha Mghwira
Spread the love

 

ANNA Elisha Mghwira, Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, amefariki dunia leo Alhamisi, tarehe 22 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea)

Anna alikuwa mgombea urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu mwaka 2015 kupitia chama cha ACT-Wazalendo.

Pia, Alikuwa Mwenyekiti wa chama hicho kabla ya Hayati Rais John Magufuli kumteua kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro. Nafasi iliyomfanya kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu ya kijamii kwa habari na taarifa zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

Serikali kufumua mitaala ya vyuo vikuu, ufundi stadi

Spread the loveSERIKALI inakusudia kufanya mapitio katika mitaala na programu za vyuo...

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

error: Content is protected !!